Iran yakemea mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani kwa ushirikiano na Uingereza na Ufaransa nchini Syria
Tangazo lililotolewa na wizara ya mambo ya nje ya Iran limekemea mashambulizi ya anga ya Marekani na washirika wake nchini Syria kwa kusema kuwa mashambulizi hayo yatakuwa na athari katika ukanda mzima.
Marekani inaituhumu serikali ya Assad kuendesha shambulizi la silaha za kemikali Duma wiki iliopita na kusababisha vifo vya watu 78.
Marekani na washirika wake Uingereza na Ufaransa wamendesha shambulizi hilo kama jimbu kwa jeshi la Assad kwa kushambulia raia na silaha za kemikali.
Tangazo lililotolewa na wizara ya mambo ya nje ya Iran limekemea mashambulizi ya anga ya Marekani na washirika wake nchini Syria kwa kusema kuwa mashambulizi hayo yatakuwa na athari katika ukanda mzima.
Marekani inaituhumu serikali ya Assad kuendesha shambulizi la silaha za kemikali Duma wiki iliopita na kusababisha vifo vya watu 78.
Marekani na washirika wake Uingereza na Ufaransa wamendesha shambulizi hilo kama jimbu kwa jeshi la Assad kwa kushambulia raia na silaha za kemikali.
