Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John POmbe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa habari na utamaduni, sanaa na michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kufuatia kifo cha msanii mkongwe hapa nchini Mzee Amri Athuman Maarufu kwa jina la King Majuto.