VIDEO: Rais Magufuli aombwa jambo hili na CUF


Mkurugenzi wa fedha wa Chama cha Wananchi CUF Thomas Malima leo Novemba 22 amemuomba Rais Magufuli kuruhusu watanzania wawasikilize wanasiasa ili wapate maoni tofauti ya pande mbili ambapo ni tofauti na sasa  wanasisikilize upande mmoja wa Serikali

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia