BASATA yawafungulia Diamond, Rayvanny na Wasafi Festival


Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limewaondoa adhabu wasanii Diamond Platnumz na Rayvanny ambayo ilikuwa ni kutojihusisha na sanaa kwa kipindi kisichojulikana. Pia Basata wamelifungulia Tamasha la Wasafi Festival.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia