VIDEO: Polepole aibuka kwenye kongamano ''kama kuna mtu anakwamisha mambo nishtue tu''
byMuungwana Blog 1-
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole leo Januari 24 amewasa vijana kujifunza mafunzo kwa vitendo ili kuliletea taifa maendeleo ambapo pia amewaomba kumpa taarifa kwa watu ambao wanakwamisha mambo ya watu.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE