Picha: Spika wa Bunge alipokutana na Balozi wa Ethiopia nchini


Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) amekuta na kuzungumza na Balozi wa Ethiopia nchini, Yonas Yosef Sanbe  alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mwingine ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Ethiopia nchini, Tewodros Girma.


Mpya zaidi Nzee zaidi