Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza jana Mkoani Morogoro alishiriki hafla ya kufunga Kongamano la 11 la Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo Vikuu Tanzania (CHAWAKITA) lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Waisilam Mkoani hapo (MUM).