VIDEO: Dk. Bashiru amvaa Mbunge CCM, apigilia msumari sakata la JPM kuongoza miaka 7
byMuungwana Blog 2-
0
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dk. Bashiru Alli amesema kuwa amehitimisha hoja ya miaka saba ya Urais iliyokuwa ikienezwa na baadhi ya watu ikiwemo mbunge wa Chemba Mh.Juma Nkamia kwa kusema kuwa CCM haaina mpango wa kuruhusu Masultani.