VIDEO: Haya ndio maagizo ya Wizara ya Kilimo kwa tume ya Ushirika


Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeziagiza taasisi zote zinazo husika na usimamizi wa sekta ya kahawa na ushirika kuhakikisha vyama hivyo  vinalelewa na kusimamiwa ipasavyo ili makosa yaliyo fanyika awali kutojirudia tena.

ANGALIA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE......


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items