Wakaazi wa Mji wa Moshi wamejitokeza leo hii kumpokea marehemu DK. Reginald Mengi almaarufu mlezi wa wanyonge katika barabara ya kutokea Kia kuelekea Machame.
Simanzi ,hofu na huzuni imetanda katika Mji huu huku wengi wao wakisikitishwa na pigo hili kubwa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIB
