Breaking News: Rais Magufuli amtumbua Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
byMuungwana Blog 2-
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Michael Pius Nyagoga.