VIDEO: Amuua mpenzi wake na kujiteketeza kwa moto


Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Fungo Mayala (34) kabila Msukuma, Mfanyabiashara wa samaki mkazi wa Mhandu Kisiwani wilayani Nyamagana, Mwanza amemshambulia kwa kumpiga sehemu mbalimbali za mwili mpenzi wake Hamida Joseph (30) na kumkaba hadi kufa na yeye mwenyewe kuchukua maamuzi ya kuwasha moto chumbani na kujiteketeza.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia