John Heche aanza ziara jimboni kwake


Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ameanza ziara yake jimboni kwake siku ya jana ambapo alikabidhi saruji na mabati kijiji cha Gwitare, Kimusi na Borega A. Pamoja na hayo, Mbunge huyo alizungumza na wananchi kusikiliza kero zao.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia