Picha: Waziri Majaliwa azungumza na Waziri Mkuu wa Japan

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika kwenye hoteli ya The New Otani iliyopo Tokyo nchini Japan, Agosti 31, 2019
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezungumza na Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe.