Rais Magufuli awalilia waliofariki ajali ya Lori la Mafuta


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya watu zaidi ya 60 na majeruhi 70 waliongua kwa moto baada ya Lori lililokuwa na shehena ya mafuta kupata ajali kisha kulipuka moto Mjini Morogoro.



Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia