John amefunga jumla ya mabao saba kwenye michezo mitano ambayo wamecheza na walitwaa kombe la CECAFA kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya kwenye michuan hiyo iliyofanyika nchini Uganda.
"Ni furaha kuona malengo ya timu yamekamilika na tunaamini ni kutokana na maombi pamoja na ushirikiano ndivyo vinavyotupa mafanikio," amesema.
