Nkana yawafungia maisha mashabiki wake kumi

Imeelezwa kuwa klabu ya Nkana ya Zambia imewafungia maisha mashabiki 10 kuhudhuria mechi za timu hiyo kutokana na kuwafanyia fujo wachezaji wake pamoja na benchi la ufundi.

Ikumbukwe mashabiki hao walifanya vurugu kwa kuwarushia mawe wachezaji ikiwemo kuwarushia mawe kwa kutumia manati baada ya kufungwa na Forest Rangers bao 1-0 iliyokuwa ya Ligi Kuu.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia