Nyumbani Simba yainyoosha Bandari FC byMuungwana Blog 2 -10/12/2019 06:39:00 PM 0 Klabu ya Simba imeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bandari FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Goli la Simba lilifungwa na Ibrahim Ajibu dakika ya 78. Facebook Twitter