Simba yainyoosha Bandari FC

Klabu ya Simba imeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bandari FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Goli la Simba lilifungwa na Ibrahim Ajibu dakika ya 78.