VIDEO: "CCM njooni mnadi sera zenu kwa CHADEMA tusitukanane, tusipigane " mwenyekiti CHADEMA


Mwenyekiti wa Chadema wa Wilaya ya Arusha, Dereck Magoma amesema kuwa chama cha upinzani siyo dhambi kwasababu wako watu wanazaliwa mapacha lakini wana mitizamo miwili tofauti huku akiwataka Chama cha mapinduzi wakubali kukosoana kwa hoja bila kutukanana wala kupigana kwasababu itikadi ndiyo zinawatenganisha watu lakini undugu unabakia palepale

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia