Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa maendeleo ya Soka Duniani. (FIFA's chief of global football development).
Rais wa FIFA Gian Infantino amesema anaamini uzoefu na weledi wa Wenger utasaidia katika eneo la Ufundi na Utunzi wa sheria.