Chelsea ya Lampard yasogea nafasi ya pili

Klabu ya Chelsea imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuipiga Crystal Palace 2-0 kwenye mchezo uliochezwa Stamford Bridge.

Magoli ya Chelsea yaliwekwa kambani na Tammy Abraham dakika ya 52 na jingine likifungwa na Christian Pulisic dakika ya 79. 
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia