Kesi namba 5,2020 ya mauaji inayomkabili Mkami Shirima(30) kwa kumuua Salome Zakaria(18) ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani mnamo Machi 6 mwaka huu imeahirishwa Hadi tarehe 8 April.
Kwa upande wake wakili wa serikali Penina Joakimu amesema kuwa kutokana na upelelezi kutokamilika ameiomba mahakama kupangiwa siku nyingine.
Akizungumza hakimu mkazi mfawizi wa mahakama ya wilaya Arumeru,Amalia Mushi alisema kesi hiyo itatajwa tena mnamo April 8 mwaka huu huku mshitakiwa akiwa bado yupo mahabusu katika gereza la kisongo mkoani arusha.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KU SUBSCRIBE