Askofu Mkuu wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Mara David Balagi amewaagiza waumini wa kanisa hilo kuwepo mabadiliko ya ibada za mazishi na harusi kutokana na janga la Corona pia kufuata masharti yaliyotolewa na serikali juu ya ugonjwa wa corona.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE