Kulinagana na taarifa zilzitolewa ni kwamba chuo kikuu cha Oxford kipo mbioni kufaanikisha chanjo dhidi ya virusi vya corona na kutaraji kuifanyia majaribio nchini Kenya kwa watu wazima.
Taarifa hizo zinaendelea kufahamisha kuwa chanjo hiyo itatolewa kwa watu wenye umri wa zaidi ya miaka 18 nchini Kenya kwa watu wasiopungua 400.
Wauguzi na madakatari bingwa ndio watakaoshirika katika kampeni hiyo ya kuoa chanjo hiyo ambayo itatolewa kwa watu wazima ambao watajitolea.
Chanjo hiyo itaendeshwa katika mjini wa Kilifi na Mombasa , miji ambayo imetanjwa kuwa na virusi vya corona vinaendelea kuzagaa.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alifahamisha mwezi uliopita kuwa raia wa Kenya hawawezi kutumiwa kwa kujaribu chanjo ya aina yeyote.
