Watu 16 wafariki baada ya kunywa pombe ilioharibika

Watu  16 wamefariki nchini Bangladesh kwa kunywa pombe ilioharibika.

Watu  16  wamefariki baada ya kunywa pombe ilioharibika nchini Bangladesh  katika eneo la Kasakzini-Magharibi.

Imeripotiwa kwamba, pombe hiyo ilikuwa na sumu  na ndio sababu iliopelekea  vifo hivyo.

Kulingana na taarÅŸfa zilzitolewa na shirika la habari la India Press Trust of India ,  limechapisha habari kuwa watu  16 wamefariki  baada ya kunywa pombe iloharibika  wakiwa katika sherehe Kaskazini-Magharibi mwa Bangladesh.

Maafisa wa afya katika  hospitali nchini  humo wameliambia shirika hilo la habari kuwa watu  12  miongoni mwa watu waliopelekwa hospitali bado wanapatiwa matibabu.

Uchunguzi hukusu pombe hiyo  wapi ilipotokea hadi kusababisha maafa umeanzishwa.

Adhabu kali itatolewa kwa yeyote atakaekutwa  na hatia ya kuhusika na kusababisha maafa hayo.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia