Idadi ya watu ambao wamekwishafariki kutokana na maambukizi ya virusi vya corona ulimwenguni imefikia watu 373 900 huku watu wengine zaidi ya milioni 6 wakiwa na maambukizi ya virusi hivyo.
Watu ambao wamripotiwa tayari kupona maambukizi hayo tangu kaibuka kwa virusi hivyo idadi yake imefikia wa 2 848 000.
Nchini China , kitovu cha virusi hivyo mwishoni mwa mwaka 2019, watu 16 wamegunduliwa kuwa na maambukizi mapya ya covid-19 ndani ya masaa 24.
Watu 4634 wamefariki nchini China kutokana na virusi hivyo .
Nchini Korea Kusini, watu 271 wamefariji huku watu 35 wakiripotiwa kugunduliwa kuwa na maambukizi na kupelekea idadi kuongezeka na kutangazwa kuwa watu 11550.
Taarifa iliotolewa na eneo la wakurdi nchini Irak, taarifa hiyo imesema kwuwa watu wawili wamefariki katika mkoa wa Süleymaniye na Erbil.
Vipimo vilivyoendesshwa kwa watu 104 Süleymanye na Erbil , matokeo yake yameonesha kuwa idadi ya kesi mpya za maamukizi inaongezeka.
Serikali imechukuwa hatua mpya ambazo malengo yake ni kukabiliana na maambukizi ya covid-19.
Agizo na marufuku ya kutotoka nje imetangazwa upya kwa kutolewa armi ya kufungwa maduku na vituo vyote vya biashara vilivyokuwa vimeruhusiwa kufungua na kuendelea na biashara.
Waziri mkuu wa Armenia , Nikol Pashinyan ametangaza kuwa wanafamilia wake wote wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Kulingana na taarifa zilizotolewa huenda waziri mkuu huyo aliambukizwa baada ya kushiriki katika mkutano wa kikazi.
Nchini India, watu 5408 wamefariki .
Nchini Pakistani watu 543 wamefariki kutokana na maambukizi ya virusi hivyo .
Watu ambao wamripotiwa tayari kupona maambukizi hayo tangu kaibuka kwa virusi hivyo idadi yake imefikia wa 2 848 000.
Nchini China , kitovu cha virusi hivyo mwishoni mwa mwaka 2019, watu 16 wamegunduliwa kuwa na maambukizi mapya ya covid-19 ndani ya masaa 24.
Watu 4634 wamefariki nchini China kutokana na virusi hivyo .
Nchini Korea Kusini, watu 271 wamefariji huku watu 35 wakiripotiwa kugunduliwa kuwa na maambukizi na kupelekea idadi kuongezeka na kutangazwa kuwa watu 11550.
Taarifa iliotolewa na eneo la wakurdi nchini Irak, taarifa hiyo imesema kwuwa watu wawili wamefariki katika mkoa wa Süleymaniye na Erbil.
Vipimo vilivyoendesshwa kwa watu 104 Süleymanye na Erbil , matokeo yake yameonesha kuwa idadi ya kesi mpya za maamukizi inaongezeka.
Serikali imechukuwa hatua mpya ambazo malengo yake ni kukabiliana na maambukizi ya covid-19.
Agizo na marufuku ya kutotoka nje imetangazwa upya kwa kutolewa armi ya kufungwa maduku na vituo vyote vya biashara vilivyokuwa vimeruhusiwa kufungua na kuendelea na biashara.
Waziri mkuu wa Armenia , Nikol Pashinyan ametangaza kuwa wanafamilia wake wote wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Kulingana na taarifa zilizotolewa huenda waziri mkuu huyo aliambukizwa baada ya kushiriki katika mkutano wa kikazi.
Nchini India, watu 5408 wamefariki .
Nchini Pakistani watu 543 wamefariki kutokana na maambukizi ya virusi hivyo .
