Mkuu wa chuo cha afya na sayansi chirikishi tumaini jipya kilichopo mafinga mjini mkoani iringa chenye usajili wa baraza la taifa elimu ya ufundi nacte no hs/ 144 anawatangazia nafasi za masomo kwa mwaka wa masaomo 2020/2021 kwa kozi zifuatazo
- Ordinary diploma in clinical medicine( clinical officer) miaka mitatu technician certificate in clinical medicine(clinical assisstance)miaka miwili.
Mwombaji awe ufaulu wa alama ( D ) kwa masomo ya fizikia chemia na biologia
- Ordinary diploma in clinical medicine upgrading ( mwaka moja) sifa awe amemaliza na kufaulu technician certificate in clinical medicine.
Pia chuo kina nafasi za kuhamia mwaka wa masomo 2020/2021, kwa wanafunzi wa mwaka wa pili na mwaka wa tatu
Maombi hufanyika chuoni kwa idhini ya nacte
kwa mawasiliano fika chuoni tumaini jipya au piga simu 0756916610 / 0764986544 / 0762251717
Chuo kina mazingiza tulivu na miundo mbinu nzuri kwa kwanafunzi kujifunzia, ada ni 1,700,000/= milioni ,moja na laki saba.
0 Comments