F Edwin Swalle Achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Kamati ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria | Muungwana BLOG

Edwin Swalle Achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Kamati ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria

 


Mbunge wa Jimbo la Lupembe mkoani Njombe, Wakili Edwin Enosy Swalle, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria.

Uchaguzi huo umefanyika jijini Dodoma, ambako vikao vya kamati mbalimbali za Bunge vinaendelea kufanyika.


Chapisha Maoni

0 Maoni