Kikosi cha Zima Moto pamoja na Jeshi la Polisi wakiwa katika uzimaji wa Moto ulio zuka Ghafra tangu Alfajiri ya leo kwa chanzo kinachosemekena ni Shoti ya Umeme na kuteketeza Vitu vyote vilivyokwemo katika Godauni la Mafuta yakupikia eneo la Foresti Mpya Jijini Mbeya.
Kikosi cha Zima Moto kwa kushilikiana na Jeshi la Polisi wakiendelea na Zoezi la uzimaji Moto katika Godauni hilo la Mafuta eneo la Ferest Mpya Jijini Mbeya..
Jeshi la Polisi na Jeshi la Zima moto lilifanikiwa kuuzima moto huo ulio zuka kwa chanzo kinacho sadikika kuwa ni Shoti ya Umeme.
Kikosi cha Zima Moto kwa kushilikiana na Jeshi la Polisi wakiendelea na Zoezi la uzimaji Moto katika Godauni hilo la Mafuta eneo la Ferest Mpya Jijini Mbeya..
Jeshi la Polisi na Jeshi la Zima moto lilifanikiwa kuuzima moto huo ulio zuka kwa chanzo kinacho sadikika kuwa ni Shoti ya Umeme.