Licha ya kuwa na furaha kubwa baada ya kujiunga na klabu ya FC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Ali Samatta anahuzunika kutengana na mshkaji wake Thomas Ulimwengu aliyemwacha TP Mazembe. Huu ni ujumbe mrefu aliouandika Samatta kwaajili ya Ulimwengu.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Sawa