Choo kilichotengezwa na dhahabu
Msanii kutoka Italy,Maurizio Cattelan alijenga choo hicho kwa kutumia carat 18 za dhahabu na kukiita choo hicho Marekani.
Choo hicho cha maonyesho kimewekwa katika msala wa kuogea wa Guggenheim kulingana na the New Yorker.
Msanii Maurizo Cattelan kutoka Italy
Choo hicho cha dhahabu kilijengwa katika choo chengine kinachotumiwa na jinsia zote mbili.
Wageni wanaolipa kiingilio cha jumba hilo la makumbusho wataweza kukitumia wanavyotaka.
Choo kilichotengezwa na dhahabu


