Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) limetangaza majina ya wachezaji watatu ambao watawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka huu.
Wachezaji wengine waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ligi za ndani kwa ligi za ndani ni golikipa wa Uganda Dennis Onyango na Khama Billiat wa Zimbabwe wote wanachezea klabu ya Mamelodi Sundowns na Rainford Kalaba kutoka Zambia na klabu ya TP Mazembe.
Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Januari 5, mwakani jijini Abuja, Nigeria.
