Ndugu Yetu Mpoki Bukuku Amepumzishwa Kwenye Nyumba Yake Ya Milele Leo Huko Mkoani Dodoma

Familia ya Marehemu Mpoki Bukuku, ikiwa imelizunguka Jeneza lenye mwili wake wakati wa ibada maalum ya Mazishi yake iliyofanyika mchana wa leo katika eneo la Makaburi ya familia yao, Msalato Mkoani Dodoma.

Jeneza lenye Mwili ya Marehemu Mpoki Bukuku likishushwa kaburini wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika mchana wa leo  katika eneo la Makaburi ya familia yao, Msalato Mkoani Dodoma.

 Mjane wa Marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mumewe.

 Mama Mzazi wa Marehemu akiweka shada la Maua.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items