Breaking News: Rais Magufuli amefanya uteuzi huu leo
byMuungwana Blog 5-
0
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 10 february amefanya uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Mamla ka ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya na Kamisha Mkuu wa Uhamiaji.