Mashehe, Wasanii Watinga Kanisa la Askofu Gwajima

WASANII wa Vichekesho nchini Mussa Kitale na Stan Bakora, wameungana na mashehe leo kwenye ibada katika kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima jijini Dar es Salaam.

Wasanii wa vichekesho wakiingia Kanisa la Ufufuo na Uzima Dar.