Leo March 7 2017 zimeripoyiwa taarifa za moto ulitokea kwenye kituo cha mafuta cha kilichopo Tegeta ambapo inaelezwa moto huo ulidumu kwa zaidi ya saa moja.
Kwa mujibu wa dereva wa lori liloungua kwenye kituo hicho cha mafuta ambapo amesema chanzo cha moto huo ni nyaya za umeme zilizokanyagwa na kusanabisha moto.
>>’Nimekuja na mafuta hapa wakati tukitoa mafuta kwenye gari kuweka kwenye visima ndio alikuja mfanyakazi wa hapa pembeni yetu wakati tunaweka mafuta alikanyaga nyaya za umeme zilizokuwa chini ambazo zilisababisha moto‘;-Edwin Thomass
Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo ...
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..
Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..






