Sijaiona ripoti ya Nape- Mwakyembe

Waziri Dkt Mwakyembe asema hajaiona ripoti ya Nape Nnauye na yeye kama mwanasheria hawezi kupeleka ripoti ambayo haijakamilika.

Huwezi kuwa hakimu kwenye kesi yako mwenyewe. Nyote mlisikia kuwa Clouds pekee ndio waliohojiwa na upande wa pili haukupatikana.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia