Ziara ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa inaendelea mkoani Kagera ambapo March 24, 2017 alifika katika Bandari ya Bukoba na kukutana na swali la Meya wa Manispaa hiyo Chief Kalumna ambaye alitaka ufafanuzi wa Waziri kuhusu ahadi ya meli iliyotolewa na Serikali ambayo hadi leo haijatekelezeka.
