Baa nyingi za nchini India zitajikuta kwenye ukata mkubwa. Tangu April 1, uuzaji wa pombe barabarani umepigwa marufuku.
Kila baa, kuanzia zile za kifahari hadi za hali duni zilizo ndani ya mita 500 kutoka kwenye barabara kuu zote sasa hazina pombe.
Mapato zaidi ya dola bilioni 10 yatapotea kutokana na uamuzi huo.
