Linah
Akichonga na Uwazi Showbiz, Galatone alisema kuwa Linah alikuwa ni mwanamke wa ndoto zake na alikuwa amepanga kuzianza harakati za kummendea hivi karibuni lakini baada ya kugundua kuwa ni mjamzito imebidi kujiweka pembeni na kumfi kiria mwanamke mwingine atakayempenda kama Linah.
“Najilaumu mwenyewe kwa .uzembe wangu wa kusubiri kujitosa kwake nikiamini muda ulikuwa haujafi ka, lakini sina namna inabidi tu kujiweka pembeni maana tayari wajanja wamemuwahi na si rahisi kunikubalia na kumuacha anayekwenda kuwa baba wa mtoto wake,” alimaliza Galatone
