Nyumbani Breaking Newz: Rais Magufuli ateua mwingine kutoka Act - Wazalendo kuwa Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro byUnknown -6/03/2017 05:11:00 PM 0 Rais Magufuli amemteua aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Act - Wazalendo, Bibi Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Facebook Twitter