Rais John Magufuli
Magufuli ameyasema hayo leo Jumatatu, Julai 10 wilayani Chato wakati wa uzinduzi wa nyumba 50 zilizojengwa na Taasisi ya Mkapa Foundation.
“Nimeuza maziwa, nimeuza furu, nimechunga ng’ombe. Sitaki nisahahu nilipotoka, sitaki nisahau maisha ya Watanzania, sitaki Watanzania wenye maisha ya chini waonewe,” amesema.
