Everton Waifuata Chelsea Kwa Treni

Wayne Rooney akiwa na wachezaji wenzake wa Everton kwenye stesheni ya treni leo kwa safari ya London kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Carabao dhidi ya wenyeji, Chelsea kesho ambao utakuwa wa kwanza kocha wa muda, David Unsworth aliyepewa nafasi ya Ronald Koeman aliyefukuzwa.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items