BREAKING NEWS; Hassanal ajivua uanachama wa Chadema ajiunga na CCM


Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Bodi ya wadhamini ambaye pia ni mshauri wa Mameya Dar es salaam Muslim Hassanal amejivua Uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items