Serikali yasema itagharamia mazishi na haitokabidhi fedha kwa familia

 Serikali imepokea bajeti ya mazishi ya Aquilina ya Tshs milioni 80 ila haitakabidhi fedha kwa familia isipokuwa itagharamia kila kitu.

Jana familia hio ilitengeneza bajeti kwa ajili ya mazishi mkoani Kilimanjaro yenye makadirio ya milioni 80 baada ya majadiliano na kuikabidhi kwa muwakilishi wa serikali.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia