Jeshi la Israel lawakamata wapalestina 20 Ukingo wa Magharibi wakituhumiwa kuhusika na matendo ya kigaidi dhidi ya Israel.
Jeshi la Israeli limefahamisha kuwa watu hao walikamatwa Jumanne majira ya usiku katika operesheni ilioendeshwa na jeshi la Israel.
Maeneo ya wapalestina hushambuliwa na jeshi la Israel na kuwakamata raia bila ya sababu maalumu.
Jeshi la Israeli limefahamisha kuwa watu hao walikamatwa Jumanne majira ya usiku katika operesheni ilioendeshwa na jeshi la Israel.
Maeneo ya wapalestina hushambuliwa na jeshi la Israel na kuwakamata raia bila ya sababu maalumu.
