VIDEO: Kama unataka kumjua Makonda ni nani Kataa wito pale
byMuungwana Blog 5-
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema "kwa mamlaka niliyokuwa nayo ndani ya Mkoa huu nina uwezo wa kumtia ndani mtu yeyote hivyo nawasihi wote ambao mmehusika na kutelekeza wanawake ukisikia wito itika usitake tupinmane ubavu
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE