Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema kuwa asingependa Kaburi lake lifungwe mnyororo kwa kuingia mikataba kama ilivyokaingia Zambia, hivyo miradi ya kimkakati tusingependa kufanya maamuzi kwahiyo tunaipitia na kuja kuzungumza na nyie.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
