Breaking News: Muigizaji mkongwe Mzee Majuto afariki dunia


Mkongwe wa tasnia ya vichekesho nchini Mzee King Majuto amefariki jioni ya leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokua amelazwa.

Taarifa kutoka kwa watu wake wa karibu zimethibitisha kutokea kwa kifo cha gwiji huyo wa sanaa ambaye amejizolea umaarufu kila pembe ya Nchi yetu.

Taarifa zaidi ya wapi ulipo msiba na taratibu zote za mazishi zitakujia baada ya kuwasiliana na familia ya marehemu.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia