Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) walioomba kukutana nae na kujitambulisha, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
